Galatians 2:9

9 aBasi, Yakobo, Kefa
Yaani Petro, pia mstari 11, 14.
na Yohana, walioonekana kama nguzo za kanisa, walitupa mkono wa shirika, mimi na Barnaba walipotambua ile neema niliyopewa. Wakakubali kwamba sisi twende kwa watu wa Mataifa na wao waende kwa Wayahudi.
Copyright information for SwhNEN